Yah: Sasa litolewe tamko
Naanza na salamu kama Mtanzania mwenye uzalendo. Watu wengi hawaelewi maana halisi ya uzalendo. Inawezekana hata mimi nikawa miongoni mwao, kwa maana ya leo ambayo inazungumzwa na wanasiasa wengi vijana na walioibuka katika uwanja wa siasa kama sehemu ya ajira. Kwa ufupi sisi watu wa zamani tulitafsiri uzalendo kama upendo baina yetu kama taifa na…