Uponyaji wa majeraha katika maisha (2)
Katika familia yangu tuliwahi kupata jeraha. Septemba 14, 1999 lilitokea tukio la kuhuzunisha kwenye familia yangu. Dada yangu kipenzi, Cecilia aliuawa kikatili, na aliyetenda tukio hilo ni mumewe. Dada aliuawa akiwa anamnyonyesha mtoto wake wa kike aliyekuwa na umri wa miezi mitano. Tukio hili tulilipokea kwa mwono wa dharau. Tuliamini kwamba, mume wa dada yetu…