‘Watumishi wa umma msitumike kisiasa’
Serikali imewakumbusha watumishi wa umma nchini kutotumika kisiasa, badala yake watimize majukumu yao kikamilifu. Maelezo hayo kwa watumishi hao wa serikali yametolewa hivi karibuni na Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dk. Mary Mwanjelwa, akiwa wilayani Kisarawe, Mkoa wa Pwani. Katika ziara yake hiyo, naibu waziri huyo licha…