Ujenzi wa barabara waathiri makazi Temeke

NA ALEX KAZENGA DAR ES SALAAM Wananchi wa Kata ya Makangarawe, Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam wameulalamikia ujenzi wa barabara za mitaa unaofanywa kwa kiwango cha lami katika mitaa hiyo wakidai kuharibu makazi yao. Ujenzi huo umeanza kutekelezwa hivi karibuni chini ya Mradi wa Uboreshaji wa Jiji la Dar es Salaam (DMDP), mradi…

Read More

Polisi yanasa bunduki 180, uhalifu wapungua

  KHALIF MWENYEHERI NA CATHERINE LUCAS, TUDARCO Jeshi la Polisi nchini limekamata silaha 187 katika kipindi cha Juni mwaka jana hadi Septemba mwaka huu, huku vitendo vya mauaji vikipungua kutoka 1,538 na kufikia 1,311 mwaka huu. Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na Jeshi la Polisi, silaha hizo zilizokamatwa katika maeneo mbalimbali nchini zilikuwa zikimilikiwa kinyume…

Read More

Maajabu ya viboko kisiwani Mafia

DAR ES SALAAM NA JUMA SALUM Kijiografia, Mafia ni kisiwa kilichoko Bahari ya Hindi, kilometa 120 kusini – mashariki mwa Jiji la Dar es Salaam na kilometa 20 mwambao wa pwani ya Wilaya ya Rufiji. Katika hali ya kushangaza, eneo la katikati la kisiwa hiki kidogo chenye ukubwa unaokadiriwa kuwa karibu nusu ya Kisiwa cha…

Read More

Mkurugenzi UCC ahusishwa kashfa nzito

Na Alex Kazenga Dar es Salaam Wafanyakazi zaidi ya 30 wa Kituo cha Mafunzo ya Kompyuta (UCC), Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wamo hatarini kupoteza kazi baada ya kituo hicho na matawi yake yote nchini kutakiwa kufungwa kwa kile kinachoelezwa kuwa ni mbinu zinazoratibiwa na menejimenti kukiua kituo hicho. Anayetuhumiwa kufanya mbinu hizo…

Read More

Korosho bado ni ‘umiza kichwa’! (1)

Nilifurahi mno Jumatano ya Septemba 5, mwaka huu nipoona katika runinga Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gilasius Byakanwa, akiwa katika Kiwanda cha Korosho Tandahimba akitoa uamuzi wa serikali (kwa barua rasmi) kwa mwekezaji wa kiwanda kile kununua korosho kwa kufuata maelekezo ya serikali kupitia mnada wa stakabadhi ghalani. Na kwamba amalizapo kubangua afuate sheria za…

Read More

Jela si mchezo

DAR ES SALAAM NA WAANDISHI WETU Kishindo kikubwa kinatarajiwa kuanza kusikika wiki hii baada ya mabadiliko ya uongozi katika Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU). Mtikisiko huo, pamoja na mambo mengine, utawahusisha baadhi ya vigogo wanaotuhumiwa kujihusisha na ufisadi. Tayari kuna orodha ndefu ya majina ya watu wanaokusudiwa kufikishwa kwenye ‘Mahakama ya Mafisadi’…

Read More