Rais Samia asikia kilio cha wachimbaji wadogo Songwe, leseni 37 zatolewa

Kunufaisha zaidi ya wachimbaji 5000 -Wamshukuru Rais Samia kwa kuwaendeleza wachimbaji wadogo _Waziri Mavunde awataka wachimbaji kuongeza uzalishaji baada ya kupata Leseni Kwa sasa wazalisha madini yenye thamani ya Bilioni 101 kwa miezi nane(8) Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Songwe Serikali ya Awamu Sita, chini ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan imetekeleza ombi la siku nyingi…

Read More

Mbarawa awataka Watanzania kufuatilia kwa karibu utabiri wa hali ya hewa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amewataka Watanzania kuendelea kufuatilia kwa karibu taarifa zinazotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kwa kuwa taarifa zinazotolewa mamlaka hiyo inatoa taarifa zenye uhakika ili kujikinga na majanga. Prof. Mbarawa ameyasema hayo wakati akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake…

Read More

Bilionea Sabodo afariki dunia

Bilionea maarufu nchini, Mustafa Jaffer Sabodo amefariki Dunia leo alfajiri akiwa nyumbani kwakwe, Masaki jijini Dar es Salaam, mtoto wa marehemu, Danstan ameiambia Daily News Digital. “Mzee amefariki leo alfajiri akiwa nyumbani. Taratibu za mazishi zinaendelea na atazikwa katika makaburi yaliyoko mtaa wa Bibi Titi Mohamedi karibu na CBE,” amesema Danstan. Marehemu Sabado alizaliwa mkoani…

Read More

TEMESA yaagizwa kuboresha huduma za vivuko

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mafia Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemuagiza Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), Lazaro Kilahala kuhakikishia anasimamia masuala ya usalama katika vivuko vyote nchini ili viweze kutoa huduma bora pamoja na kulinda usalama wa mali na abiria. Aidha, Bashungwa ametoa wiki moja kwa TEMESA kuhakikisha wanapeleka vichanja vya…

Read More