Viongozi wazungumzia uadilifu na utiifu wa Zelothe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Viongozi wa Chama na Serikali waliopata fursa ya kuzungumza wakati wa ibada ya mazishi ya aliyekuwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi (mstaafu) wa Jeshi la polisi nchini na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Arusha, Marehemu Zelothe Stephene Zelothe kuwa alikuwa ni kiongozi mwadilifu na mwenye nidhamu, aliyewapenda anaowaongoza na asiyependa…