Rais Samia: Dhamiara ya kubadilisha bomba la mafuta TAZAMA, kujenga bomba jipya la gesi iko palepale
Na Wislon Malima, JAMHURI MEDIA Lusaka Zambia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema wataendelea na dhamira ya kubadilisha Bomba la Mafuta lililopo la Tanzania-Zambia (TAZAMA) na kujenga bomba jipya la gesi asilia kutoka Dar es Salaam hadi Zambia. Aidha amesema kwa kutambua haja ya kuhakikisha usalama wa nishati na…