Rais Samia awasili Zambia apokelewa na Rais Hichilema
Na Wilson Malima, Lusaka ZambiaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan tayarì amewasili Ĺusaka Zambia kwa ajili ya ziara ya siku tatu Oktoba 23 hadi 25, 2023. Rais Samia amewasili na kupokelewa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Zambia Hakainde Hichilema katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Keneth Kaunda…