Tanzania kuwasilisha ombi CAF matumizi ya matangazo ya Kiswahili
Na Shamimu Nyaki, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Damas Ndumbaro amesema Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inatarajia kuwasilisha ombi la kuweka matangazo kwa lugha ya Kiswahili katika Mashindano ya Kombe la Mataifa Barani Afrika AFCON yatakayochezwa mapema mwaka 2024. Ndumbaro amesema…
Ulowa bingwa cherehani Cup 2023, Rais Samia apewa tano kuimarisha michezo
Na Mathias Canal, JamhuriMedia, Shinyanga Mashindano ya CHEREHANI CUP 2023 yamefika ukomo tarehe 15 Octoba 2023 katika uwanja wa Nyamilangano yakiwa yamefanyika kwa zaidi ya wiki tatu huku jumla ya timu 20 kutoka kata zote za Halmashauri ya Ushetu zikiwa zimeshiriki. Katika mashindano hayo timu ya Ulowa Fc kutoka kata ya Ulowa imeibuka kidedea baada…
Rais Samia aokoa afya za wananchi zaidi ya 8000-Sofu
Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Kibaha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan amewapunguzia mwendo wa Km.5 wananchi wa Kata ya Sofu kufuata huduma za afya kwenye maeneo mengine. Takribani milioni 200 zimekamikisha jengo la Zahanati Kata ya Sofu itakayohudumia zaidi ya Wananchi 8,000 wa Mitaa ya mitatu ya Msufuni,Twendepamoja ,Sofu na mitaa…