ATCL kuwa na ndege zake mpya 16 – Prof. Mbarawa
Na Andrew Chale, JamhuriMedia, Dar WAZIRI wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amebainisha kuwa, Tanzania kupitia shirika lake la ndege (ATCL) linaenda kuwa na ndege zake mpya 16. Prof. Mbarawa ameyasema hayo mapema jana Oktoba 2,2023, wakati wa kutangaza hafla ya mapokezi ya ndege mpya ya abiria aina ya Boeing B737-9MAX pamoja na uzinduzi wa ndege…