Njooni muwekeze Tanzania Kisiwa cha amani – Othman
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Serikali imetoa wito kwa washiriki wa Kongamano la Nishati wakiwemo Mawaziri, Watunga Sera, Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma na Binafsi, Wafanyabiashara na Viongozi mbalimbali wa Makampuni kutoka ndani na Nje ya Tanzania walioshiriki Kongamano la Tano la Nishati Tanzania kwa mwaka 2023 kutumia mazingira rafiki yaliyopo Tanzania ili kuwekeza katika…