Njooni muwekeze Tanzania Kisiwa cha amani – Othman

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Serikali imetoa wito kwa washiriki wa Kongamano la Nishati wakiwemo Mawaziri, Watunga Sera, Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma na Binafsi, Wafanyabiashara na Viongozi mbalimbali wa Makampuni kutoka ndani na Nje ya Tanzania walioshiriki Kongamano la Tano la Nishati Tanzania kwa mwaka 2023 kutumia mazingira rafiki yaliyopo Tanzania ili kuwekeza katika…

Read More

TANESCO watakiwa kukamilisha kwa wakati ujenzi wa miundombinu ya umeme mji wa Serikali Mtumba Dodoma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Shirika la Umeme Nchini TANESCO limetakiwa kukamilisha kwa wakati mradi wa ujenzi wa Miundombinu ya umeme wa chini unaoendelea katika mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma. Hayo yamesemwa leo Tarehe 21 Septemba 2023, na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi…

Read More

Ole Leikata: Mil 700 za Rais Samia zamaliza ujenzi wa daraja korofi la Kiseru wilayani Kiteto

Na Mathias Canal, Kiteto-Manyara Daraja korofi katika barabara inayounganisha Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara na wilaya za Mvomero na Gairo Mkoa wa Morogoro, Kongwa na Kibagwa mkoani Dodoma limepatiwa ufumbuzi wa kudumu na serikali baada ya ujenzi kukamilika. Daraja hilo lililopewa jina la Mama Samia Lekaita Kiseru katika Kijiji na Kata ya Sunya Wilayani Kiteto…

Read More

Wadau wakutana kujadili mpango kazi wa uwekezaji wa miundombinu ya hali ya hewa nchini

Na Mwandishi Wetu,JanburiMedia Tanzania kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kwa kushirikiana na Taasisi ya Hali ya Hewa ya Denmark (DMI) kama Mshauri na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) kama Taasisi ya kusimamia Utekelezaji wa mfuko (Programu) wa kuimarisha miundombinu ya hali ya hewa na ufanisi duniani kwa nchi zinazoendelea…

Read More