Chuo Kikuu Huria ni mkombozi wa walalahoi -Waziri Simbachawane
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma. Serikali imesema inatambua na kuthamini mchango wa Chuo Kikuu huria nchini katika kuendeleza elimu kwa walala hoi, wafanyakazi ambao hawana elimu ya juu kutokana na kukosa muda wa ziada na kuahidi kushughulikia changamoto zote zinazokikabili Chuo hicho kuongeza ushawishishi. Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya utumishi wa Umma…