Prof. Ndalichako: Ajira 11,315 kuzalishwa na kiwanda cha sukari cha Mkulazi
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amesema kuwa kukamilika kwa ujenzi wa kiwanda cha Sukari kilichopo Mbigiri kitachangia ongezeko la ajira kwa watanzania kwani kinatarajiwa kutoa fursa za ajira 11315 ambazo ni ajira za moja kwa moja na ajira sio za moja kwa moja…