NMB yabainisha mikakati ya kuwakwamua wakulima wadogo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Wakulima wadogo wana mchango mkubwa katika kuhakikisha utoshelevu na uhakika wa chakula nchini jambo ambalo Benki ya NMB imeahidi kuendelea kulifadhili na kuliunga mkono kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa ndani na nje ya nchi. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam kwenye Mkutano Mkuu wa Mifumo ya Chakula ya Afrika (AGRF)…
Mavunde aipongeza STAMICO kwa kupiga hatua na kujitegemea
#Aitaka kuchukua mafanikio kama kichocheo #STAMICO yabainisha mipango yake Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Madini Anthony Mavunde amelipongeza Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kwa hatua kubwa iliyopigwa katika kipindi kifupi kutoka kuwa Shirika tegemezi na kuwa Shirika linalojitegemea huku akilitaka kuendelea kufanya kazi kwa bidii zaidi ili kufikia azma ya kuwepo kwa…
Serikali yaimarisha mazingira ya uwekezaji sekta ya mifugo
Serikali ya Tanzania imesema kuwa imeboresha na kuimarisha mazingira ya kiuwekezaji katika sekta ya mifugo kwa kuondoa baadhi ya ushuru, kodi na vikwazo vya kikodi katika biashara ya mifugo na mazao yake . Hayo yamelezwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega katika mkutano wake na wadau mbalimbali, kuzinadi fursa zilizopo katika sekta hiyo…
EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano, tarehe 6 Septemba 2023 saa 6:01 usiku. Kwa mwezi Septemba 2023, bei za rejareja za mafuta katika Mikoa ya Dar es Salaam, Tanga na Mtwara ni kama ifuatavyo: Mkoa Petroli Dizeli …