PAC yaridhika na uwekezaji na utekelezaji mradi wa SGR
Na Jumanne Magazi Makamo Mwenyeki wa Kamati ya Kudumu ya Uwekezaji wa mitaji ya Umma (PAC), Deus Sangu amesema kamati yao imeridhika uwekezaji na utekelezaji wa mradi wa Reli ya mwendokasi SGR. Ameyasema hayo leo Machi 27,2024 wakati walipofanya ziara ya ukaguzi mradi ujenzi wa Reli ya SGR, sambamba na kuangalia majaribio ya treni hiyo…
Serikali yaja na mfumo kusaidia wahamaji walio katika mazingira hatarishi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa kushirikiana na Taasisi nyingine za Serikali pamoja na wadau inaandaa mfumo wa rufaa kwa wahamaji walio katika mazingira hatarishi nchini utakaosaidia kutoa huduma kwa makundi maalum wakiwemo watoto. Hayo yamebainika wakati wa kikao kilichowakutanisha Wakurugenzi na Makamishna…
DAS Magogwa awaasa wananchi kujiepusha ukataji miti kiholela
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha KATIBU Tawala wilaya ya Kibaha , mkoa wa Pwani, Moses Magogwa amewaasa wananchi kujiepusha na ukataji miti kiholela na badala yake wajenge tabia ya kupanda miti na kuitunza kwani ndio jawabu la kupambana na uharibifu wa mazingira. Ameeleza hayo wakati Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kibaha kwa kushirikiana na…
Mabaraza ya Ardhi na nyumba yatende haki, kwani hakuna aliye juu ya sheria -RC Kunenge
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani ,Abubakar Kunenge ametoa rai kwa Mabaraza ya Ardhi na Nyumba kufanyakazi kwa kuhakikisha yanatenda haki kwa wananchi kwani hakuna aliye juu ya sheria. Aidha ameeleza kuwepo kwa mabaraza hayo ni matarajio yake kuona migogoro ya ardhi inakwenda kupungua ama kumalizika na kubakia historia katika mkoa…
Changamoto nane zinazowakabili wafanyabiashara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chemba ya Biashara ,Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) imefanya ziara katika mikoa 14 na kubaini changamoto nane za wafanyabishara,wenye viwanda na wakulima na kushauri mamlaka husika kupita katika maeneno hayo na kufanya maboresho. Ziara hiyo imefanyika katika mikoa ya Dar es Salaam, Pwani , Lindi, Mtwara, Morogoro, Dodoma,…