Miaka 59 ya uhusiano wa Tanzania na Indonesia yaimarisha uchumi
Na Immaculate Makilika – MAELEZO INAELEZWA kuwa chimbuko la uhusiano kati ya Tanzania na Indonesia ni Mkutano wa Bandung uliofanyika mwaka 1955 ambapo nchi nyingi za Afrika na Asia zilikuwa katika utawala wa kikoloni kwa kipindi hicho. Kupitia Mkutano huo nchi hizo zilikubaliana kuimarisha ushirikiano ili kujikomboa kutoka katika utawala wa kikoloni na ulikuwa ndiyo…