Tanzania, Cuba kushirikiana katika mchezo wa ngumi
Tanzania kupitia Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo na Serikali ya Cuba kupitia Taasisi ya INDER ya nchini humo zimekubaliana kushirikiana katika eneo la kuendeleza mchezo wa ngumi, ambapo mabondia kutoka hapa nchini watapata fursa ya kuweka Kambi Cuba pia walimu wa ngumi na Mabondia kutoka Cuba watapata fursa ya kuja Tanzania kufundisha na kubadilishana…