Senyamule atoa wiki mbili kukamilisha miradi Mpwapwa
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa kuhakikisha wanakamilisha ujenzi wa Shule ya Msingi Msagali ndani ya muda wa wiki mbili baada ya kutokamilika kwa muda uliopangwa awali wa Juni 30, 2023. Senyamule ameyasema hayo Agosti 1, 2023 wakati wa ziara yake ya kikazi wilayani Mpwapwa kukagua miradi na…