Serikali yasikiliza kilio cha waliokuwa wafanyakazi wa Tanzania Plantation LTD

Na Mwandishi Wetu, Arumeru Serikali imesikiliza kilio cha waliokuwa wafanyakazi katika shamba la Tanzania Plantation lilipo wilaya za Arusha na Arumeru mkoa wa Arusha kwa kuwapatia maeneo kwa ajili ya kujenga makazi, kilimo pamoja na ufugaji. Akizungumza na wananchi wa kitongoji cha Lucy eneo la Bwawani wilayani Arumeru mkaoni Arusha tarehe 2 Agosti 2023 Dkt…

Read More

Mbunifu wa mavazi azindua tai kirungu

Na Mwandishi Wetu, Mbunifu wa mavazi nchini mwenye kufanya kazi za Sanaa ya ubunifu wa mavazi, Didas Katona akifahamika zaidi kama ‘Katona Kashona’, anatarajia kuzindua Tai kirungu ((Bow Tie), tukio litakalofanyika Agosti 4, ukumbi wa Club The Marz zamani Nyumbani Lounge. Katona Kashona amebainisha kuwa, tukio hilo watu mbalimbali maarufu wamealikwa huku burudani ya muziki…

Read More

Ofisi ya Makamu wa Rais yawakaribisha wadau, wananchi Nanenane Mbeya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Mbeya Ofisi ya Makamu wa Rais imeungana na Wizara, Idara, Wakala na Taasisi za Umma na Binafsi katika kushiriki Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima Duniani (Nanenane) kitaifa yanayoendelea katika Viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya. Maadhimisho hayo yaliyozinduliwa jana Agosti Mosi, 2023 na Makamu wa Rais,Dkt. Philip Mpango yanatarajia kufikia kilele chake…

Read More