Jerry: Baadhi ya hoja za kisheria wanaozijadili wanasheria hawazijui au wanapotosha makusudi

Wakati gumzo la mkataba wa uwekezaji Bandarini Dar es Salaam likiendelea, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mita ji ya Umma (PIC) ambaye pia ni Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa ameelezea mengi ikiwemo hoja za kisheria ambazo amedai baadhi ya wanasheria wanaozijadili aidha hawazijui au wanafanya makusudi. “Ukiwasikiliza wengi mtu anaweza…

Read More

Serikali yatoa onyo kali kuhusiana na kilimo cha mirungi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Same Kamishna Jenerali Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini (DCEA), Aretas Lyimo ametoa onyo kali kwa viongozi wa ngazi ya halmashauri  watakaobanika kutochukua hatua stahiki kuhusiana na kilimo cha mirungi, na kusema kuwa watachukuliwa hatua za kisheria bila kujali nafasi zao. Kamishna Jenerali Lyimo amesema hayo jana katika operesheni ya…

Read More

Wapiga kura 74,642 kupiga kura kuchagua madiwani kesho

Na Mwandishi Maalum,JamhuriMedia Wapiga Kura 74,642 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wanatarajiwa kushiriki katika uchaguzi mdogo wa madiwani katika kata 13 za Tanzania Bara kesho Julai 13,2023. Jumla ya wapiga kura 74,642 walioandikishwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wanatarajiwa kushiriki katika uchaguzi huu mdogo na jumla ya vituo 205 vya…

Read More

Balozi Polepole akipaisha Kiswahili Cuba

Balozi wa Tanzania Nchini Cuba Humphrey Polepole amesema waasisi wa Mataifa ya Afrika walifanya jukumu lao kwa harakati kubwa za kulikomboa Bara la Afrika na kwamba ni wakati wa kizazi cha sasa kuhakikisha wanaleta ukombozi wa kiuchumi barani na njia pekee ya kufanikisha hilo ni kuzungumza lugha moja ya Kiswahili. Maadhimisho hayo yaliyoandaliwa na Ubalozi…

Read More

Maandamo yafanyika Kenya licha ya marufuku ya Polisi

Maandamano ya upinzani yameanza nchini Kenya, licha ya kutangazwa na polisi kuwa haramu, na kusababisha matumizi ya vitoa machozi na vyombo vya sheria kuwatawanya waandamanaji katika miji mbalimbali. Inspekta Jenerali wa Polisi alisema kuwa “mamlaka hawana lingine ila kuchukua hatua zinazohitajika kutawanya maandamano hayo haramu”, kama ilivyotajwa katika taarifa aliyoitoa Jumanne jioni. Barabara kuu za…

Read More