Wananchi kupatiwa matibabu ya dharura hospitali ya Nyang’hwale

Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita imekamilisha ujenzi wa jengo la dharura (EMD) liliojengwa kwa ufadhili wa mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa Sh milioni 69 lengo kuwapa wananchi huduma ya dharura kwa ukaribu. Hayo yalisemwa jana na Mganga mfawidhi wa hospitali hiyo, Princepius Mugishagwe alipokuwa akiongea na waandishi wa habari walipotembelea majengo…

Read More

Wawili wapandikizwa uume Benjamini Mkapa

Wanaume wawili waliokuwa na matatizo ya  nguvu za kiume kutokana na matatizo mbali mbali ya kiafya, wamefanyiwa upasuaji na kupandikizwa uume katika Hospitali ya Benjamini Mkapa (BMH) kwa kushirikiana na Chama cha Madaktari Bingwa wa upasuaji wa mfumo wa mkoji nchini (TAUS) pamoja na Daktari bingwa kutoka nchini Ufaransa. Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara…

Read More