TANESCO yaandika historia, yasaini mradi wa kuzalisha umeme jua wenye thamani ya Bilioni 274.76/-
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Shirika la Umeme nchini (TANESCO) limeandika historia kwa kusaini mkataba wa kuzalisha umeme jua wenye thamani ya Bilioni 274.76 Kwa kutumia teknolojia ya “Solar Photo Voltaic”Wenye uwezo wa kuzalisha megawatt 150 za umeme. Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Maharage Chande amesema hayo Jijini hapa leo Mei 29,2023 kwenye hafla ya utiaji…
Bola Tinubu aapishwa kuwa Rais wa Nigeria
Rais mteule wa Nigeria Bola Tinubu ameapishwa leo kuwa kiongozi wa taifa hilo lenye idadi kubwa zaidi ya watu barani Afrika linalokabiliwa na changamoto nyingi. Anaingia rasmi madarakani huku raia wakiwa na matumaini mapya ya maisha bora na masuala mengine ambayo serikali yake inatarajiwa kuyaboresha. Bola Tinubu, gavana wa zamani wa jiji la Lagos ambalo…
Wabunge wafurahishwa utekelezwaji mradi wa bomba la mafuta ghafi EACOP
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameusifu mradi wa bomba la Mafuta Ghafi la Afrika ya Mashariki (EACOP) kwa kutoa fidia nzuri kwa waliopitiwa na mradi huo na kutoa kipaumbele katika maeneo mengine ikiwemo utunzaji wa mazingira. Pia wabunge hao wameusifu mradi huo kwa kuwapa mafunzo waliopitiwa na mradi huo ya kilimo,…
Bashungwa awakabidhi majenerali wastaafu magari mapya
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Innocent Lugha Bashungwa (Mb) amewakabidhi Magari Mapya, Jenerali George Marwa Waitara (Mstaafu) pamoja na Jenerali Robert Philemon Mboma (Mstaafu) tukio lililofanyika Ofisi za Wizara, Mtumba Jijini Dodoma. Akikabidhi Magari hayo, Mheshimiwa Waziri Bashungwa amesema, kuwapatia Majenerali Wastaafu Magari ni sehemu ya maelekezo ya Mheshimiwa Rais na…