TANESCO yaandika historia, yasaini mradi wa kuzalisha umeme jua wenye thamani ya Bilioni 274.76/-

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Shirika la Umeme nchini (TANESCO) limeandika historia kwa kusaini mkataba wa kuzalisha umeme jua wenye thamani ya Bilioni 274.76 Kwa  kutumia teknolojia ya “Solar Photo Voltaic”Wenye uwezo wa kuzalisha megawatt 150 za umeme. Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Maharage Chande amesema hayo Jijini hapa leo Mei 29,2023 kwenye hafla ya utiaji…

Read More

Bashungwa awakabidhi majenerali wastaafu magari mapya

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Innocent Lugha Bashungwa (Mb) amewakabidhi Magari Mapya, Jenerali George Marwa Waitara (Mstaafu) pamoja na Jenerali Robert Philemon Mboma (Mstaafu) tukio lililofanyika Ofisi za Wizara, Mtumba Jijini Dodoma. Akikabidhi Magari hayo, Mheshimiwa Waziri Bashungwa amesema, kuwapatia Majenerali Wastaafu Magari ni sehemu ya maelekezo ya Mheshimiwa Rais na…

Read More