Mmarekani ahukumiwa miaka 20 jela kwa kusafirisha dawa za kulevya
Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imemuhukumu Lione Lionel Rayford raia wa Marekani kifungo cha miaka 20 jela baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin kiasi cha kilo 2.188. Hukumu hiyo imetolewa jana Mei 26, 2023 kufuatia Shauri la Uhujumu Uchumi Namba 17 la mwaka 2021…