Shaib: Rushwa inazorotesha maendeleo, Tuwafichue wanaojihusisha

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibiti Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka huu Abdallah Shaib Kaim, ameeleza licha ya juhudi za Serikali kuboresha huduma na miradi mbalimbali ,wapo baadhi ya wala rushwa wanaokwamisha na kuzorotesha juhudi hizo. Kutokana na hilo ametoa rai kwa Watanzania kushirikiana na Serikali kufichua wanaojihusisha na vitendo vya rushwa….

Read More

Yanga yadhamiria kubeba makombe

Timu ya Yanga imedhamiria kuchukua makombe yote manne msimu huu baada ya kuichapa bao 1-0 Singida Big Stars na kutinga Fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) mchezo ambao ulipigwa kwenye uwanja wa Liti Mjini Singida. Yanga Sc wapo katika hatua ya fainali Kombe la Shirikisho barani Afrika pamoja na Kombe la Shirikisho la…

Read More

NHC, ZHC kuondoa changamoto za makazi bora

……,……………………………… Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angellina Mabula amesema kuwa uwepo wa makubaliano ya mashirikiano baina ya Shirika la Nyumba la taifa (NHC) na lile la Zanzibar (ZHC)  utasaidia kuondoa changamoto mbalimbali ikiwemo za makazi bora na upatikanaji wa nyumba bora na za gharama nafuu kwa pande…

Read More

TAWA yabainisha jitiada za Serikali kupunguza changamoto ya wanyamapori wakali

Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imesema kufuatia changamoto ya Wanyamapori Wakali na Waharibifu inayokabili Wilaya ya Mvomero, Serikali imechukua hatua mbalimbali mahsusi katika kuhakikisha inapunguza changamoto hiyo kwa wananchi. Hayo yamesemwa Mei 19, 2023 Wilayani Mvomero na Mhifadhi Gilbert Magafu akitoa wasilisho katika warsha ya kujadili utatuzi wa changamoto ya wanyamapori wakali na…

Read More