NMB yakabidhi viti, meza za Mil. 15/- kwa Sekondari Mafia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Benki ya NMB imekabidhi msaada wa viti 100 na meza 100 vyenye thamani ya Sh. Mil. 15, kwa matumizi ya wanafunzi wa Shule za Sekondari Kidawendui na Jibondo, zilizoko Mafia mkoani Pwani, vifaa vilivyopokelewa na Mkuu wa Wilaya hiyo, Zephania Sumaye, kutoka kwa Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa benki hiyo,…