‘Hakuna haki bila uwajibikaji katika utumishi wa umma’

………………………. Watumishi wapya kutoka Ofisi ya Wakili Mkuu Mkuu wa Serikali wametakiwa kuwajibika ipasavyo katika kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa weledi kwa kuwa hakuna haki bila uwajibikaji katika Utumishi wa Umma. Hayo yamesemwa tarehe 4 Mei, 2023 na Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Sarah Mwaipopo wakati akifungua mafunzo elekezi kwa watumishi wapya wa Ofisi…

Read More

Mradi wa shule bora utakavyoboresha ufundishaji KKK, kupunguza utoro Pwani

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia, Pwani Jamii mkoani Pwani ,imeaswa kujenga tabia ya kufuatilia maendeleo ya masomo ya watoto wao ngazi ya shule za awali hadi msingi ,ili kuwajengea uwezo wa kujua Kusoma ,Kuandika na Kuhesabu . Hatua hiyo ,itasaidia kupunguza changamoto ya watoto kufeli elimu ya msingi kwa kutojua KKK. Akielezea mikakati ya mkoa kuinua ufaulu…

Read More

Majaliwa mgeni rasmi kongamano la kumbukizi ya miaka 101 ya Mwalimu Nyerere

Makamu mwenyekiti wa Taasisi ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Bw.Peter Mavunde,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Mei 4,2023 jijini Dodoma  kuelekea katika kongamano la kumbukizi ya miaka 101 ya kuzaliwa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Na. Gideon Gregory-DODOMA Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi…

Read More