Watoto 37 wafariki kipindi hiki cha mvu, Polisi watoa tahadhari
Na Abel Paul Jeshi la Polisi nchini limetoa tahadhari kwa wananchi wanaotumia vibaya mitaandao ya kijamii hasa kipindi hiki cha mvua zinazoendela kunyesha ambapo limesema kuanzia Januari hadi Aprili, mwaka huu kumejitokeza matukio ya watoto kufa maji kwa kusombwa na maji maeneo mbalimbali hapa nchini ambapo watoto 37 wameripotiwa kupoteza maisha. Akitoa taarifa hiyo leo…