Bashe awaita wawekezaji kuja Tanzania

Na Mwandishi wetu, JAMHURI MEDIA Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amewakaribisha wawekezaji kutoka katika maeneo mbalimbali duniani kuja kuwekeza kwenye kilimo na kuahidi kuwa Serikali itatoa ardhi na kuweka mazigira bora. Bashe ameyasema leo Machi 17, 2023 Ikulu jijini Dar es Salaam, wakati akizungumza na washiriki wa uzinduzi wa Jukwaa la Mfumo wa Chakula Afrika…

Read More

Tanzania iko tayari kulisha Dunia

Na Wilson Malima, JAMHURI MEDIA Kwa mujibu wa takwimu kutoka Benki ya Tanzania (BoT) na Wizara ya Kilimo, Tanzania imeongeza mauzo ya nje ya chakula mwaka hadi mwaka, huku chakula hicho kikiuzwa nchi za Afrika Mashariki, Kusini mwa Afrika, Pembe ya Afrika (Horn of Africa) na sehemu nyingine mbalimbali duniani. Takwimu hizo zinaonesha kuwa Tanzania…

Read More

Polisi wakamata bastola ikiwa na risasi 71

Na Mwandishi Wetu-Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linaendelea na operesheni maalumu ya kuwasaka watu wanaojihusisha na uhalifu ambapo kupitia operesheni hiyo pamoja na taarifa toka kwa wananchi tumefanikiwa kukamata bastola moja aina ya CZ 75 LUGER yenye namba za usajili A487385 pamoja na risasi 71 za bastola iliyokuwa inatumiwa na wahalifu….

Read More

Mvua ya upepo mkali yaezua mapaa Njombe,

Wakazi zaidi ya tisa wa Kijiji cha Ngelenge kilichopo katika Kata ya Ruhuhu wilayani Ludewa mkoani Njombe wamekosa makazi baada ya mvua zilizoambatana na upepo zinazoendelea kunyesha mkoani hapa na kubomoa baadhi ya nyumba. Mtendaji wa kata hiyo Yusuph Lukuwi amesema kuwa maafa hayo yametokea usiku wa kuamkia leo Machi 17,2023,majira ya saa 7, usiku,…

Read More