Yafahamu mataifa saba yasiyoadhimisha siku ya ‘Valentine’
Kwa Mataifa ya Magharibi kila ifikapo Februari 14 wapendanao huitumia siku hii kutumiana jumbe zawadi na maua kuonyeshana hisia na namna kila mmoja anavyompenda mwenziye. Katika siku hii ambayo chimbuko lake ni huko Roma ikihusishwa na askofu wa Kanisa Katoliki aliyefahamika kwa jina Valentine aliyefungwa kwa kukiuka amri ya Mfalme Claudius ll kwa kufungisha ndoa…