NMB yafadhili mafunzo ya bodaboda yatakayofanyika nchini Rwanda
Benki ya NMB imefadhili ziara ya siku nne ya mafunzo kwa viongozi wa Vyama na Mashirikisho ya Wafanyabiashara Wadogo (Machinga) na waendesha bodaboda Mkoa wa Dar es Salaam, wanaoondoka nchini Jumatatu Februari 6,kwenda Kigali, Rwanda. NMB imekabidhi tiketi 12 za kwenda na kurudi Rwanda kwa wajasiriamali hao 10 na viongozi wawili, watakaoongozwa na Mkuu wa…