Elimu njia sahihi ya kupunguza tatizo la sumukuvu nchini

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Imeelezwa kuwa tatizo la Sumukuvu nchini Tanzania linachangiwa na ukosefu wa elimu kuanzia uzalishaji wa chakula na kusababisha madhara ya ugonjwa wa saratani na ini. Hayo yamebainishwa leo Januari 9,2023 mkoani Dodoma na Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Chakula kutoka Wizara ya Kilimo,Dkt.Honest Kessy ambaye alimwakilisha Katibu Mkuu wakati wa mafunzo…

Read More