Polisi Arusha waonywa kutoshabikia vyama vya siasa
Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi Askari wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha watakiwa kutojihusisha na ushabiki wa vyama vya siasa. Hayo yamesemwa leo Januri 9, 2023 na Kamanda wa Polisi Kikosi cha Kuzuia wizi wa mifugo nchini Kamishina Msaidizi wa Polisi ACP Simon Pasua wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza askari waliofanya…
Elimu njia sahihi ya kupunguza tatizo la sumukuvu nchini
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Imeelezwa kuwa tatizo la Sumukuvu nchini Tanzania linachangiwa na ukosefu wa elimu kuanzia uzalishaji wa chakula na kusababisha madhara ya ugonjwa wa saratani na ini. Hayo yamebainishwa leo Januari 9,2023 mkoani Dodoma na Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Chakula kutoka Wizara ya Kilimo,Dkt.Honest Kessy ambaye alimwakilisha Katibu Mkuu wakati wa mafunzo…
Waziri Mabula aagiza kunyang’anywa kwa viwanja visivyoendelezwa
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angeline Mabula ameziagiza mamlaka za Kupanga, Kupima na Kumilikisha ardhi nchini kuyatambua maeneo au viwanja ambavyo havijaendelezwa katika maeneo ya mijini yatambuliwe na kunyanganya milki zake ili zigawiwe kwa wengine wenye uwezo wa kuziendeleza. Waziri Mabula amesema hayo leo jijini Dar es Salaam katika kikao kazi…
Waziri Jafo awahimiza Watanzania kutunza mazingira
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo ametoa wito kwa Watanzania kutunza mazingira na kudumisha amani. Ametoa wito huo leo Januari 08, 2023 wakati akizindua vyumba vya madarasa 12 na ujenzi wa uzio wa skuli ya sekondari ya Piki wilayani Wete – Pemba. Amesema ni muhimu kulinda…