Ajali yaua watano Morogoro
Watu watano wameripotiwa kufariki dunia papo hapo, katika eneo la Mikumi, wilayani Kilosa mkoani Morogoro kwenye ajali iliyohusisha gari ndogo maarufu kama IT iliyokuwa ikitokea bandarini jijini Dar es salaam kuelekea mpakani Tunduma kugongana uso kwa uso na gari kubwa la kusafirisha mafuta lilokuwa likitokea mkoani Iringa kuelekea mkoani Morogoro. Kamanda wa jeshi la polisi…