DC Mgema:Vita ya kugombania maji inakuja
Na Albano Midelo, JamhuriMedia,Ruvuma MKUU Wa Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma Pololet Mgema ameitaja vita kubwa na mbaya ambayo inakuja ni ya kugombania maji. Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara na wananchi wa kijiji cha Mtyangimbole Halmashauri ya Madaba Wilaya ya Songea,Mgema amesisitiza kuwa vita hiyo itasababishwa na uharibufu wa vyanzo vya maji unaoendelea hivi sasa….