Ndugu Rais, Akwilina akatuombee busara za Kenyatta

Ndugu Rais, Mfalme Suleiman ametajwa na vizazi vingi kwa hekima kubwa aliyokuwa nayo. Mwenyezi Mungu alimwambia amwombe chochote, naye angemtimizia. Alimjibu akisema, “Ee, Mwenyezi Mungu naomba unijalie hekima!” Aliomba hekima! Hakuomba mali wala maisha marefu au nguvu ya majeshi. Na sisi tumwombe Mwenyezi Mungu atujalie hekima! Tunaposubiri uchunguzi wa mauaji ya Akwilina anayepumzika katika nyumba…

Read More

Akwiline azidi ‘kumliza’ Waziri wa JPM

NA ANGELA KIWIA Kifo cha aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) cha jijini Dar es Salaam, Akwiline Akwilina kinaendelea ‘kutesa’ mioyo ya watu. Akwiline aliuawa Februari 16, mwaka huu baada ya kupigwa risasi akiwa kwenye daladala. Risasi hiyo inadaiwa kufyatuliwa na mmoja wa askari polisi waliokuwa wakiwatanya wafuasi wa Chama cha Demokrasia…

Read More

Ndugu Rais siku ya kumuaga Akwilina ilikuwa nzito

Ndugu Rais, sijui niilaumu nafsi yangu au nimlaumu Mwenyezi Mungu aliyenifanya niishuhudie siku ya Alhamisi tarehe 22/2/2018 pale Chuo cha Usafirishaji, siku ambayo mwili wa Akwilina ulipokuwa unaagwa. Yaliyonigusa moyoni naapa hayatakuja kunitoka katika kifua changu siku zote zilizobakia katika maisha yangu, baba nchi imepinda! Ni nani asimame ainyooshe? Hakika siku hiyo ilikuwa ni siku…

Read More

Akwilina awe Balozi wa amani

Ijumaa ya Februari 16, mwaka 2017 imekuwa siku ya majonzi kwa taifa letu. Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwiilina B. Akwilini ameuawa kwa kupigwa risasi akiwa kwenye daladala, wakati polisi wanapambana na waandamanaji wa Chadema. Wiki iliyopita nimeandika makala nikitahadharisha juu ya mwenendo wa askari polisi kutumia nguvu…

Read More