Wachambuzi wa Soka Wasema Alikiba Anaweza Kucheza Ulaya
Baadhi ya Wachambuzi wa Soka nchini akiwemo kocha wa Dodoma FC, Jamhuri Kihwelo amesema msanii wa Bongo Fleva nchini, Ally Salehe Kiba ‘Alikiba’ ni mchezaji mwenye uwezo wa kucheza Ligi Kuu Bara, na kama akiandaliwa vizuri anaweza kucheza hata Ulaya. Julio ameyasema hayo akiwa kocha wa Team Samatta mara baada ya kumalizika kwa mchezo…