Mbowe Ampa Pole Rais Magufuli kwa Kufiwa na Dada Yake

August 19,2018 Rais Magufuli amepata msiba kwa kufiwa Dada wa yake Marehemu Monica Magufuli amabye amefariki akiwa na umri wa miaka 63, ameacha watoto 9, pamoja na Wajukuu 25. Viongozi mbalimbali wametoa pole kwa Rais Magufuli kupitia mitandao ya kijamii. Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kupitia ukurasa ameandika “Kwa niaba ya Kambi Rasmi ya Upinzani…

Read More

Ukawa kuwasilisha Bajeti yao Jumatatu

Chama cha Chadema ambacho ni chama kikuu cha Upinzani hapa Tanzania umesema kuwa utawasilisha bajeti yake mbadala bungeni siku ya Jumatatu, waziri kivuli wa fedha na mipango Halima Mdee amesema. Hii itakuwa mara ya kwanza kwa upunzani kuwasilisha maoni yake tangu mkutano wa bajeti bungeni kuanza miezi miwili iliopita. Siku ya Alhamisi waziri wa fedha…

Read More

Mbowe na Wenzake Kutoka Kizimbani Leo

Viongozi sita wa CHADEMA wanatarajiwa kuachiliwa kutoka kizimbani baada ya kulipa dhamana, siku ya Alhamisi. Viongozi hao wa chama cha CHADEMA, akiwemo mwenyekiti Freeman Mbowe, walishtakiwa kwa uchochezi ,kuleta vurugu na kuandamana mwezi wa Februari mwaka huu. Alhamisi iliopita, mahakama ya hakimu mkazi Kisutu iliwapatia dhamana viongozi hao sita lakini kusema kuwa watasalia rumande hadi…

Read More

Freeman Mbowe alazwa Hospitali ya KCMC

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Manendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC mjini Moshi akiendelea kupatiwa matibabu baada ya kufikishwa hospitalini hapo jana usiku alipougua ghafla. Mbowe ambaye pia ni Mbunge wa Hai na kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni (KUB), alifikishwa katika hospitali hiyo jana saa mbili usiku. Baada…

Read More