Tusiwasahau Wapalestina

Juma lililopita Rais Donald Trump wa Marekani alitangaza uamuzi wa serikali yake kuhamisha ubalozi wa nchi hiyo Tel Aviv kwenda Jerusalem. Ni hatua inayotokana na tamko kuwa serikali yake imetambua rasmi kuwa Jerusalem ni makao makuu ya Israel. Ni hatua inayochochea kudhoofika kwa jitihada za Wapalestina za kutafuta haki wanayoisaka tangu mwaka 1947. Kwa upande…

Read More