Simba, Yanga,Gor Mahia, AFC Leopard Kukutana kwenye Mashindano ya SportPesa Super Cup
Baada ya kushindwa kutamba mbele ya Azam FC kwa kupata kipigo chama bao 3-1 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, Yanga imeanza kujipanga na mashindano ya SportPesa Super Cup. Michuano hiyo inatarajia kuanza Juni 3 mpaka 10 jijini Nairobi nchini humo ikihusisha timu zote zinazodhaminiwa na kampuni hiyo ya bahati Nasibu. Kikosi hicho kitaanza maandalizi…