Tusipoziba ufa, tutajenga ukuta…
NA ANGELA KIWIA Ni wiki moja sasa tangu nchi yetu ikumbwe na kilio cha kumpoteza mpendwa ndugu yetu, Akwilina Akwilini. Sitaki kabisa kukumbuka tukio hilo lililojaa simanzi na taharuki katika bongo zetu. Maisha ya Mtanzania sasa yanaanza kuogofya. Tunaishi kwenye nchi ya amani iliyoanza kumea vilio vya kukosekana na kutoweka kwa amani. Tunamzika binti yetu…