Huduma za Mwendokasi ziboreshwe
DAR ES SALAAM ALEX KAZENGA Watanzania tulio wengi tu wazuri kuzungumza, lakini kwenye kutenda baso tunasuasua. Linapokuja suala la kutenda mipango tunayozungumza huwa tunakwama-kwama. Sijajua nini tatizo na kwanini tuwe kwenye hali hiyo au kwanini hatupati suluhisho la kudumu. Nikiutazama mradi wa Mabasi ya Mwendokasi (BRT) unaosimamiwa na UDART katika Jiji la Dar es Salaam,…