Wanafunzi ‘Shule ya Waziri Jafo’ wasomea chini ya mti
DODOMA EDITHA MAJURA Shule ya Msingi Nzuguni ‘B’ ya mkoani Dodoma, inakabiliwa na uhaba wa vyumba vya madarasa hivyo kuwalazimu wanafunzi kusoma kwa zamu. Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Seleman Jafo ndiye mlezi wa shule hiyo yenye wanafunzi 2,402, madarasa tisa na matundu nane ya vyoo. Uchunguzi wa…