Ujeruman Yaendeleza Record ya Bingwa Mtetezi Kutolewa Htaua ya Makundi

Imekuwa kawaida kwa bingwa wa Kombe la Dunia kutolewa hatua ya makundi, lakini hakuna aliyetegemea hilo lingetokea kwa Ujerumani.

Ujerumani haikuwahi kutolewa katika hatua ya makundi katika miaka 80 iliyopita.

Korea Kusini wameilaza kwa mabao 2-0 na kuitupa nje katika Kombe la Dunia katika hatua ya makundi. Maana yake wameivua ubingwa.

Kipigo hicho kimezua hofu kubwa kwa mashabiki wa timu hiyo ya taifa na huo ndiyo ukweli usiopingika.

 

1998: France alikuwa bingwa

2002: France alitoka hatua ya makundi

2006: Italy alikuwa bingwa

2010: Italy alitoka hatua ya makundi

2010: Spain alikuwa bingwa

2014: Spain alitoka hatua ya makundi

 

Kwa nini Mabingwa wa kombe la Dunia hutolewa hatua ya Makundi tena kwa kufungwa na Timu dhaifu kabisa ??