Walioficha mabilioni Uswisi wahojiwa

*Kwenye orodha wamo majenerali wa JWTZ

*Mboma, Sayore, Yona, Chenge, Mgonja ndani

*AG akiri kazi ni ngumu, aomba waongezwe muda

*Asema mwanga muhimu umeanza kuonekana

Kamati iliyoundwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuchunguza Watanzania walioficha fedha kwenye mabenki ughaibuni, imeshawahoji vigogo, wakiwamo mawaziri wa zamani, wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, wanasiasa na wafanyabiashara maarufu.

Read More

KAULI ZA WASOMAJI

Gharama KCMC zinatisha

Serikali inajitahidi kuboresha huduma kwa wananchi wenye kipato cha chini, lakini baadhi ya hospitali haziko kwa ajili ya huduma za tiba ila ni biashara tu! Ni Watanzania wangapi wanaweza kumudu gharama za sasa za KCMC kama sio kufa kwa wagonjwa?

Mtanzania mzalendo, Moshi

Read More