Polisi wamtapeli kachero mstaafu

Maofisa wa Jeshi la Polisi nchini wasio waaminifu wamekula njama na kumwingiza matatani kachero mstaafu, Thomas Njama, ambaye kwa michezo yao ameshindwa kulipwa mafao yake Sh 47,162,559 tangu mwaka 2015, JAMHURI linathibitisha. Njama anapigwa danadana kama ‘kibaka’ wakati amelitumikia Jeshi la Polisi kwa miaka 37 na amekuwa mwanachama wa uliokuwa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi…

Read More

ANNA WATIKU NYERERE

Binti mkubwa wa Mwalimu Nyerere asiye na makuu   Nimepanda daladala eneo la Posta, Dar es Salaam nikienda Kawe. Muda ni jioni, na kwa sababu hiyo abiria tumebanana kweli kweli. Tunapofika katika kituo cha Palm Beach, kondakta anamtaka dereva asimamishe gari – aongeze abiria. Sisi tuliomo ndani tunalalamika. Tunahoji hao abiria wengine watakaa au kusimama…

Read More

TALGWU yapambana na malimbikizo ya mishahara

Katibu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU) Mkoa wa Dar es Salaam, Ibrahim Zambi, ameiomba Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kuwabadilishia mishahara wanachama wake waliopandishwa madaraja katika mkoa huo. Zambi amedai tangu mwezi Juni mwaka huu wanachama wake katika wilaya zote za Mkoa wa Dar es Salaam…

Read More

Mwendokasi mwarobaini chupa za plastiki

Shirika la Misaada la Uingereza (UKAID) kwa kushirikiana na Benki ya Dunia wamezindua kampeni ya matangazo ya mwezi mmoja kuhamasisha jamii mbinu za kukabili mafuriko. Kampeni hiyo itakayohusisha mradi wa mabasi yaendayo haraka (UDART), imezinduliwa katika kituo cha mabasi yaendayo haraka cha Kivukoni. Imehusisha basi lililobandikwa matangazo yanayohamasisha utokomezaji taka, hasa za plastiki zinazosadikiwa kuwa…

Read More

Wa-Bahá’í washerehekea miaka 200 ya kuzaliwa Bab

Wa-Bahá’í ulimwenguni kote wanasherehekea miaka 200 ya kuzaliwa kwa Bab – Mtume Mtangulizi wa dini ya Bahá’í. Taarifa ya Baraza la Kiroho la Mahali la Bahá’í imesema sherehe za kilele zitakuwa Oktoba 29, mwaka huu. ‘Bab’, wadhifa ambao maana yake ni ‘Lango’ au ‘Mlango’ katika lugha ya Kiarabu, alizaliwa katika Jiji la Shiraz, Uajemi, mwaka…

Read More

Tujitathmini aliyotuachia Nyerere

Wiki hii Tanzania inamkumbuka mwasisi wake, Mwalimu Julius Nyerere. Tukio hili ni la kila mwaka lakini mwaka huu linafanyika ikiwa imepita miaka 20 tangu kufariki dunia kwa kiongozi huyo ambaye ndiye aliyeweka misingi ya jinsi ya kutawala na kuongoza nchi ili kujiletea maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii na kisiasa. Kimsingi, Taifa la Tanzania lilivyo…

Read More