Mashabiki Simba wapata ajali, mmoja afariki
Mashabiki wa klabu ya Simba waliokuwa katika basi dogo la abiria aina ya Coaster wamepata ajali eneo la Vigwaza mkoani Pwani na mtu mmoja amefariki. Taarifa ya Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba imeeleza kuwa ajali hiyo imetokea alfajiri ya leo, wakati mashabiki hao wakiwa njiani kuelekea jijini Dar es Salaam, ambapo usiku Simba…