MCHANGANYIKO
Ili kukuza uchumi Tanzania isibadili tu itikadi, ibadili mbinu pia
DAR ES SALAAM NA JOHN KIMBUTE Mwelekeo wa sasa wa sera za nje za Tanzania una tofauti kiasi fulani na tulichozoea awali, na kwa njia hiyo imebidi viongozi serikalini wafanye kazi ya ziada ya kuainisha maeneo ya fikra au itikadi ambayo mwanzoni yalikuwa hayatiliwi maanani, licha ya kuwa yanafahamika. Moja ya matukio ya kufafanua hali…
Uamuzi wa Busara
Uamuzi wa Busara ni jina la kitabu kilichochapishwa na Ofisi ya Katibu Mtendaji Mkuu wa TANU, kimebeba mambo muhimu yaliyoamuliwa kuhusu taifa kabla ya kupata uhuru. Yapo mambo ambayo kama yasingefanyika ingekuwa vigumu kujua historia ya nchi hii ingekuwaje leo. Mathalani, kama TANU ingekataa kushiriki katika Uchaguzi wa kura tatu mwaka 1958, sijui tungekuwa wapi….
Kampuni za simu zawekeza Sh trilioni 6 nchini
Uwekezaji wa kampuni zinazotoa huduma za simu za mikononi umefikia Sh trilioni 6 ambazo zimekuwa na tija kubwa kwa taifa na kuifanya sekta ya mawasiliano kuwa miongoni mwa sekta zinazokua kwa kasi kubwa hapa nchini. Wakati uchumi ukikua kwa asilimia 7.2 katika robo ya pili mwaka huu, takwimu kutoka Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)…
Adui mkubwa wa Simba huyu hapa
Karibu kila mwanachama wa Simba ambaye anaonekana kwenye runinga akizungumzia mustakabali wa timu hiyo, anakosa hoja nzito yenye mashiko. Kila anayemkaribia mwandishi wa habari wa kituo cha runinga anaizungumzia Simba kwa uchungu kwa sababu tu timu haijafikia lengo lililokusudiwa. Hajasikika hata mmoja mwenye kuzungumzia uhusiano wa uongozi wa timu bila ya kujali matokeo ya uwanjani….
Matokeo ya kidato cha SITA mwaka 2019
Yatazame kwa urahisi matokeo ya kidato cha SITA mwaka 2019 hapa>>> https://matokeo.necta.go.tz/acsee/acsee.htm
Hatua rahisi za kutoa gari bandarini
Katika mfululizo wa makala za bandari, leo tunakuletea utaratibu unaotumika katika kuhudumia shehena ya magari hatua kwa hatua katika bandari za TPA, kuanzia meli inavyoingia bandarini, gari linavyoteremshwa kutoka melini, gari linavyopokelewa bandarini, gari linavyotoka bandarini hadi mteja kukabidhiwa gari lake. Ukaguzi baada ya meli kuwasili bandarini Hatua ya kwanza inayofanyika baada ya meli kuwasili bandarini…