Waziri wa Kilimo Dkt Charles Tizeba ametembea kiwanda cha kubangua Korosho cha Micronix System Limited kilichopo Wilaya ya Newala Mkoani Mtwara na kuzungumza na Viongozi wa kiwanda hicho juu ya kupandisha malipo kwa Vibarua wanaofanya kazi Kiwandani hapo.
Kwa Sasa mfanyakazi analipwa Kwati ya Shilingi elf7 mpaka elf8 kwa siku ambapo wanafanya kazi Kwa Siku 5 kwa Wiki.
Tayari uongozi kwa kiwanda hicho kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya ya Newala Aziza Mangosongo wameahidi kulifanyia kazi Swala hilo.