JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

Kalleiya ahimiza kuunda kamati za uchuni kata,matawi kujiimarisha kiuchumi

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Katibu wa CCM Wilaya Kibaha Mjini , mkoani Pwani, Issack Kalleiya amehimiza kuunda kamati za uchumi kila kata na matawi pamoja na kuanzisha vitenga uchumi ili kukiimarisha kiuchumi. Wito huo aliutoa alipokuwa kata ya Kongowe…

Makamu wa Rais atembelea ujenzi wa ofisi za CCM Micheweni

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi ambaye ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametembelea ujenzi wa ofisi za Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini…

ACT Wazalendo walia ukatili kwa mtoto wa kike

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Chama cha ACT Wazalendo kimetoa wito kwa Serikali na vyombo vyake vya dola kupunguza muda wa uendeshaji wa kesi za ukatili dhidi ya watoto na wanawake. Chama hicho kimependekeza muda wa uendeshwaji wa…

Ole Leikata: Mil 700 za Rais Samia zamaliza ujenzi wa daraja korofi la Kiseru wilayani Kiteto

Na Mathias Canal, Kiteto-Manyara Daraja korofi katika barabara inayounganisha Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara na wilaya za Mvomero na Gairo Mkoa wa Morogoro, Kongwa na Kibagwa mkoani Dodoma limepatiwa ufumbuzi wa kudumu na serikali baada ya ujenzi kukamilika. Daraja hilo…

ACT Wazalendo yapinga matokeo ya ubunge jimbo la Mbarali

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia Chama cha ACT Wazalendo kimesema hakikubaliani na matokeo ya ubunge yaliyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na kutangazwa jana na Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Mbarali  Missana  Kwangura . Kauli hiyo ilitolewa na Katibu…

Jenista awataka wananchi Kata ya Mtyangimbole Songea kumchagua mgombea udiwani CCM

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Madaba Songea. Wananchi wa Kata ya Mtyangimbole, Kijiji cha IKalangiro kilichopo Wilaya ya Songea Vijijini wametakiwa kutofanya makosa katika marudio ya uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata hiyo utakaofanyika Septemba 19, mwaka huu na kuombwa kumchagua…