Programu ya SAUTI kuleta mabadiliko sekta ya mifugo nchini

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Mashimba Ndaki amesema kuwa Programu ya Samia Ufugaji kwa Tija (SAUTI) inakwenda kuleta mabadiliko makubwa kwenye Sekta ya Mifugo. Waziri Ndaki ameyasema hayo juzi wakati anazungumza na vijana waliochaguliwa kujiunga kwenye vituo atamizi kwa ajili ya mafunzo ya unenepeshaji mifugo katika Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Kanda ya…

Read More