JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Uchumi

Nini kinaendelea Uwanja wa Ndege Chato?

Na Daniel Limbe, Jamhuri Geita Wakati kukiwa na uvumi kwamba Uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita umetelekezwa na sasa unatumika kwa kuanikia nafaka, hali sivyo ilivyo. Uwanja huu bora na wa kisasa uliojengwa wakati wa utawala wa Awamu ya…

Jafo:Waliovamia vyanzo vya maji waondoke haraka

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Selemani Jafo (Mb) amewataka wananchi wote waliovamia bonde la Ihefu ambalo ni chanzo cha mto Ruaha Mkuu kuondoka mara moja ili kuondokana na athari zilizopelekea mto Ruaha Mkuu…

Halotel yaongoza kwa intaneti yenye spidi nchini

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia KAMPUNI ya simu za mkononi ya Halotel Tanzania imeshika usukani mara ya tatu kwa kuwa na huduma ya intaneti yenye spidi ya kasi zaidi ukiliganisha na kampuni nyingine zinazotoa huduma. Kwa mujibu wa ripoti ya robo ya…

Programu ya SAUTI kuleta mabadiliko sekta ya mifugo nchini

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Mashimba Ndaki amesema kuwa Programu ya Samia Ufugaji kwa Tija (SAUTI) inakwenda kuleta mabadiliko makubwa kwenye Sekta ya Mifugo. Waziri Ndaki ameyasema hayo juzi wakati anazungumza na vijana waliochaguliwa kujiunga kwenye vituo atamizi…

Vijiji 20 Longido vyatenga hekta 186.794 kwa malisho

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Arusha Vijiji 20 kati ya 49 Wilayani Longido, Mkoa wa Arusha, vimetenga eneo la hekta 186.794.2 kwa ajili ya nyanda za malisho ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia nchi. Katika wilaya hii, asilimia 95 ya wakazi…