Ndalichako:Rais Samia amedhamiria kutatua changamoto za wafanyakazi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Prof. Joyce Ndalichako amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan imedhamiria kutatua changamoto za wafanyakazi ili kuboresha maslahi yao. Waziri Ndalichako ametoa kauli hiyo jana wakati akifungua semina ya siku moja kwa…

Read More

TFS waanzisha utalii wa mbio za magari

WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) ,kupitia shamba la miti la Sao Hill lilopo wilaya ya Mufindi mkoani Iringa wamefanikisha mashindano ya magari ya mbio fupi ya Sao Hill Auto Cross ambayo yalikuwa kivutio kikubwa kwa wananchi wa mkoa wa Iringa na nje ya mkoa wa Iringa waliofika katika eneo ambalo mashindano yalifanyikia Akizungumza…

Read More

Kinana afurahishwa na kasi ya ujenzi wa daraja la Magufuli

Na Mwandishi Wetu,JamhuruiMedia,Mwanza Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, amesema Chama kinaridhishwa na mwenendo wa ujenzi wa daraja la JPM Magufuli linalounganisha kati ya Mkoa wa Mwanza na Geita ambalo linajengwa eneo la Kigogo-Busisi. Akizungumza wakati akikagua daraja hilo Kinana ambaye yupo katika ziara ya kukagua uhai wa…

Read More